Eritrea yapinga vikwazo vya UNUtawala nchini humo umekemea vikali hatua ya baraza la usalama la umoja wa mataifa kuiwekea vikwazo kufuatia madai kuwa inachochea vita nchini Somalia. | ... BBC News
Mahakama ya The Hague kutomshtaki kiongozi wa waasi wa Darfur| Mahakama hiyo imesema hakuna ushahidi wa kutosha kumfungulia mashtaka kiongozi huyo. | Hukumu hiyo imetoka mnamo wakati ambapo Rais Idriss Derby wa Chard akiendelea na ziara yake nchini Sudan katika... Deutsche Welle Swahili
Jimmy Carter awasili nchini SudanCarter anatarajiwa kuelezea wasi wasi wake kuhusu uchaguzi mkuu nchini humo unaopangwa kufanywa mwezi Aprili. | ... BBC News
Timu ya taifa Soka ya Benin yavunjwaKocha wa timu hiyo raia wa Ufaransa Michel Dussuyer na maafisa wote wa kiufundi pia wamefutwa kazi. Kwa mujibu maafisa wakuu wa shirikisho hilo, kikosi hicho kimevunjwa kutokana na utovu wa nidhamu na... BBC News
Kuanzishwa kwa Vitambulisho vya Taifa nchini Tanzania| Kwa mujibu wa mamlaka ya vitambulisho nchini humo ni kwamba vitambulisho vya utaifa vinatazamiwa kuanza kutolewa mwishoni mwa mwaka huu. | Othman Miraji alizungumza kwa njia ya simu na mk... Deutsche Welle Swahili
Egypt yawakamata viongozi wa upinzaniMiongoni mwao ni naibu wa kundi hilo, Mahmoud Ezzat. | ... BBC News
Nigeria kumzingatia kocha wa MisriSiku ya Ijumaa shirikisho la soka la Nigeria (NFF) lilitangaza kumshusha cheo Shaibu Amodu. | ... BBC News
Marais wa Sudan na Chad kukutanaBaadhi ya waasi wanaopigana katika eneo la Sudan la Darfur, wanaaminiwa kupata ufadhili kutoka Chad. Chad nayo inadai kuwa serikali ya Sudan inafadhili waasi katika eneo la mashiriki la nchi hiyo. | ... BBC News
Kisanduku cha ndege ya Ethiopia chapatikanaNdege hiyo aina ya Boeing 737 ilianguka mnamo tarehe 25 Januari, muda mfupi baada ya kuruka kutoka uawanja wa ndege wa Beiruti wakati hali mbaya ya hali ya hewa, na kuwaua abiria wote 90 waliokuwemo k... BBC News
Nigeria wamtimua kocha AmoduHiyo ni mara ya pili kwa Amodu mwenye umri wa miaka 51 kutimuliwa kutoka wadhifa huo wakati timu ya taifa ya Nigeria ikijiandaa kucheza fainali za kombe la dunia. | ... BBC News
Uchina yaikosoa ICC kuhusu rais wa SudanMsemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Uchina, alisema hali nchini Sudan iko katika mahali pagumu, ukizingatia suala la Darfur na mpango wa amani kati ya Kaskazini na Kusini. | ... BBC News
Rada ya Tanzania yaigharimu BAEBAE inalipa faini hiyo baada ya kukiri hatia ya kufanya njama ya kuwasilisha taarifa za fedha zenye udanganyifu mbele ya serikali ya Marekani. | ... BBC News
Yar'Adua wa Nigeria kukabidhi madaraka?Barua hiyo, itayomwarifu rasmi seneta kwamba Bw Yar'Adua yuko katika likizo ya matibabu, inamaanisha moja kwa moja kuwa makamu wake atakaimu nyadhifa ya urais. | ... BBC News
Wanajeshi Burundi watuhumiwa kwa uasiWanashtakiwa kwa kukataa kutii amri mwezi Januari 2009 wakipinga suala la kutolipwa mishahara. | ... BBC News
Waziri mkuu Kenya ataka Waziri ajiuzuluUchunguzi uliofanywa katika wizara hiyo hivi majuzi umedhihirisha kuwa zaidi ya dola milioni 1 za kufadhili mpango wa elimu ya msingi zimefujwa. | ... BBC News
Keita aitaka CAF kuondoa marufuku dhidi ya TogoTogo imepigwa marufuku na CAF kutoshiriki katika mashindano mawili yajayo ya kuwania kombe la mataifa bingwa barani Afrika. Pia imetozwa faini ya $50,000, kufuatia uamuzi wao wa kujiondoa kutoka kwa m... BBC News
Uchaguzi wa Gavana kufanyika Anambra, NigeriaWaandishi wa Habari wanasema kuna hali ya wasi wasi kuhusu unachaguzi huo, unaoendeshwa na tume ya uchaguzi iliyosimamia uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2007, ambao ulighubikwa na wizi wa kura na udanganyif... BBC News
Mswada kuchunguzwa upya UgandaBwana Oryem ameiambia BBC kuwa mswada utakaowasilishwa bungeni, utakuwa tofauti na ule wa awali. Matamshi hayo yametolewa siku moja tu baada ya rais wa Marekani Barack Obama, kusema mswada huo unapend... BBC News
Wapiga kura waongezewa muda BurundiHatua hii imechukuliwa na tume hiyo kufuatia kasoro zilizojitokeza awali katika uandikishwaji wa wapiga kura ambapo wengi hawakujitokeza. | ... BBC News
Rais Obama alaani mswada wa UgandaMuswada huo unapendekeza mwenye hatia kufungwa jela kwa muda mrefu au hata adhabu ya kifo katika baadhi ya matendo hayo ya jinsia moja. | ... BBC News
Saratani ya kizazi yakithiri TanzaniaWanawake ndio wanaotajwa kuathirika zaidi kwa saratani ya shingo ya kizazi. | ... BBC News
Mahakama zaboreshwa TanzaniaLakini mahakama zinadai kwamba mazingira wanayofanyia kazi ni magumu. | ... BBC News
Libya yaonywa kuhusu kuziba wavutiWanaharakati wamesema Tripoli ilianza kuchukua hatua kali za kinidhamu tarehe 24 Januari, ikizuia wavuti kadhaa za kigeni zinazoripoti kuhusu Libya zisionekane, na wavuti nzima ya YouTube. | ... BBC News
Mabomu Somalia hulenga raiaShirika hilo la kutoa misaada limeiambia BBC, waliwatibu takriban waathirika wa mabomu 100 katika ghasia zilizoibuka hivi karibuni baina ya wapiganaji na majeshi ya serikali. | ... BBC News
Waasi waafiki uamuzi wa ICC SudanMajaji hao, watupilia mbali umauzi uliokuwa umetolewa awali, kuwa upande wa mashtaka haukuwa umewasilisha ushahidi wa kutosha, ili Bwana Al Bashir, afunguliwe mashtaka hayo. Msemaji wa SLM, Yahya Bash... BBC News
Rais Idriss Deby Kuzuru Sudan wiki ijayoSerikali ya Chad na Sudan, zimetia saini mikataba kadhaa iliolenga kusitisha uhasama kati yao, lakini harakati za waasi katika pande zote mbili zimekuwa zikichochea uhasama kati ya nchi hizo mbili. | ... BBC News
Blackstars wa Ghana watunukiwaWachezaji hao wametunukiwa kiasi hicho na Rais wa nchi hiyo John Atta Mills kwa kufika fainali. | ... BBC News
Bi Ingabire ashambuliwa RwandaBi Ingabire alirejea nchini humo hivi karibuni akitokea uhamishoni kwa lengo la kugombea kiti cha urais katika uchaguzi wa rais utakaofanyika mwezi Agosti mwaka huu. | ... BBC News